Lengo ni kuwapa nafasi wachezaji kushiriki kikamilifu katika klabu zao, jambo ambalo kwa mujibu wa chama hicho litaongeza umaridadi wao.
Katika mechi zake za kufuzu kombe la duni , Kenya Simbas watacheza na Moroco June 23, Zimbabwe June 30 na Uganda Julai 7, Tunisia Agosti 11 na Namibia Agosti 18.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |