Everton imefungwa katika michezo mitano kati ya saba iliyocheza ikiwa chini ya meneja wake wa muda David Unsworth, ikiwaweka rekodi ya kufungwa magoli 9 katika michezo miwili.
Sam Allardyce ambaye ni kocha wa zamani wa klabu za Bolton, Blackburn, Newcastle, Sunderland, West Ham and Palace manager, akiwa pia amewahi kuteuliwa kuwa kocha mkuu wa timu ya taifa ya Uingereza, ameendelea kutokuwa muwazi juu ya kuhamia klabuni hapo.
Everton haijawa na kocha tangu imtimue Ronald Coeman Ocktoba 23 mwaka huu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |