Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya China Geng Shuang amesema, msaidizi wa waziri wa mambo ya nje wa China Bw. Chen Xiaodong atafanya ziara ya siku mbili nchini Zimbabwe kuanzia kesho.
Bw. Geng amesema, China na Zimbabwe zina urafiki mzuri na matokeo mazuri ya ushirikiano, na China inapenda kushirikiana na Zimbabwe kusukuma mbele kudumisha mwelekeo mzuri wa maendeleo ya uhusiano kati yao.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |