Philip Lucky meneja wa uwekezaji na masoko, katika bodi hiyo, amewasihi uwakilishi wa biashara kutoka angalo kuwekeza sekta ya nyumba kwani inachangia zaidi ya asilimia 8ya Pato la Taifa.
Aidha amesema wanahitaji nyumba za bei nafuu kuweza kukidhi mahitaji ya watu wao.
Uwekezaji katika sekta ya nyumba nchini Rwanda umeongezeka kutoka dola milioni 100 hadi dola milioni 596 katika kipindi cha miaka 14 iliyopita.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |