Madaktari nchini Uganda wamefikia makubaliano na serikali na kusitisha mgomo wa wiki tatu. Hata hivyo wamesema kama serikali itaendelea kuwapuuza huku wakionya kuwa iwapo matakwa yao hayatatiliwa maanani, watarejea tena kwenye mgomo huo mapema mwakani.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |