Billy Turner mwenye miaka 46 mkazi wa Memphis ndiye anatajwa kutekeleza mauaji hayo, kufuatia taarifa zilizopatikana baada ya mamlaka kutangaza dau nono la dola 21 kwa atakayetoa taarifa kuhusu kifo hicho.
Katika uchezaji wake Lorenzen, amewahi kuvitumikia vilabu vya LA Clippers, Atlanta Hawks, Memphis Grizzlies, Sacramento Kings na Cleveland Cavaliers na akiwa na rekodi ya kuitumikia kwa mafanikio timu ya taifa ya Marekani.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |