Magoli ya united ambao wanafuzu kama vinara wa Kundi A yamefungwa na Romelu Lukaku katika dakika ya 64, na Marcus Rashford kunako dakika ya 66, huku goli la kufutia machozi kwa CSKA ambao sasa wamekosa kufuzu likifungwa na Alan Dzagoev mapema dakika ya 45.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |