Kwa nafasi hiyo sasa, Atletico itakwenda kushiriki mashindano ya kombe la Yuropa kulingana na kanuni za mashindano yanayoongozwa shirikisho la vyama vya soka vya Ulaya UEFA.
Mara ya mwisho Atletico Mdrid kuwahi kuondolewa katika hatua ya makundi ya klabu bingwa ulaya ilikuwa msimu wa 2009-2010.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |