• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Soka: Matokeo ya Ligi ya mabingwa, Disemba 05-2016

    (GMT+08:00) 2017-12-06 10:46:29
    Na katika matokeo ya mechi zingine zilizopigwa jana, Benfica wakiwa nyumbani walikubali kipigo cha goli 2-0 kutoka kwa FC Basel, Celtic wakifungwa 1-0 na Anderlecht, Bayern Munich ikiwaadhibu PSG kwa magoli 3-1.

    AS Roma ilipata ushindi wa goli 1-0 dhidi ya FK Qarabag, Barcelona ikiitandika sporting Lisbon kwa magoli 2-0, na Juventus ikishinda kwa magoli 2-0 ilipocheza dhidi ya Olympiakos.

    Michuano hiyo inaendelea tena leo usiku kwa mechi za mwisho za makundi E F G an H.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako