• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Masumbwi Kenya, Rais Kenyatta awatunuku tuzo ya hesima mabondia

    (GMT+08:00) 2017-12-13 10:37:03

    Katika kuadhimisha sikukuu ya jamhuri nchini Kenya, jana Rais uhuru Kenyatta amewatunuku nishani za heshima mabondia wanne kutokana na umahiri wao pamoja na kuiletea sifa nchi yao kimataifa.

    Mabondia waliopata tuzo hiyo inayojulikana kama Head of State Recommendation ni Fatuma Zarika, Rayton Okwiri, Maurice Okolla na James Onyango.

    Wote hao tayari wameiwakilisha Kenya katika mapambano mengi ya kimataifa na kila mmoja akiwa tayari amegusa mkanda wa ubingwa wa WBO katika ngazi za Afrika Mashariki na Kati, Afrika na Duniani.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako