China yatoa hati mpya zaidi ya elfu nne za makazi ya kudumu kwa raia wa kigeni
Wizara hiyo imesema, ikilinganishwa na kadi za zamani, kadi mpya zimewekewa kifaa kinachoweza kusomwa kwenye mashine.
Kadi hizo mpya ni matokeo ya mageuzi yanayolenga kuzifanya kadi hizo zitambuliwe na mashine na zinajulikana na kukubalika katika nyanja mbalimbali za jamii, ikiwemo vituo vya trni, usafiri wa anga, bima, hoteli, na benki.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |