Tunisia imeshuhudia ongezeko la asilimia 23 kwenye sekta ya utalii kuliko mwaka jana, ambapo idadi ya watalii waliotembelea nchi hiyo imefikia milioni 6.7, wakiwemo watalii zaidi ya elfu 18 kutoka China, ambao wamechangia mapato ya dola bilioni 1.12 za kimarekani kwa mwaka huu, ikiwa ni ongezeko la asilimia 3 ikilinganishwa na mwaka jana.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |