Wizara ya mambo ya nje ya Russia imeeleza matumaini yake kuwa maandamano makubwa yanayoendelea nchini Iran hayatageuka kuwa vurugu za kimabavu na kwamba uingiliaji wowote wa nje kwenye mambo ya ndani ya Iran haukubaliki. Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Iran, watu wasiopungua 15 wameuawa kwenye maandamano yanayoipinga serikali kote nchini Iran.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |