REG walishindwa kwa alama 75-60, ikiwa ni mchezo ambao ulitarajiwa kuwa mgumu kwao baada ya Patriots kuwa na makali kufanikiwa kushinda mechi nyingine zote zilizopita.
Kocha mkuu wa REG Cyrille Kalima wasithubutu kukatishwa tamaa na kufungwa na waangaze zaidi kupata ushindi katika mechi ili kutwaa ubingwa msimu huu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |