• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Tennis, Shenzhen: Halep na Sharapova waanza kwa ushindi

    (GMT+08:00) 2018-01-02 10:29:33
    Mchezaji namba moja kwa viwango vya ubora wa Tennis kwa upande wa wanawake, Simona Halep wa Romania ameanza vizuri msimu mpya wa mashindano kufuatia ushindi mnono wa seti ya 6-4 6-1 alipocheza dhidi ya Nicole Gibbs wa marekani kwenye Mashindano ya wazi ya Shenzhen yalioanza jana katika jimbo la Guangdong hapa China.

    Huu ni mwanzo mzuri mchezaji huyo amabye anajiandaa pia na mashindano ya Australia yanayotarajiwa wiki mbili zijazo akiwa nimiongoni mwa wanaopewa nafasi ya kutwaa ubingwa.

    Katika michezo mingine iliyofanyika jana, Maria Sharapova wa Urusi, naye alipata ushindi katika mechi yake ya kwanza dhidi ya Mihaela Buzarnescu kwa seti ya 6-6 6-0.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako