Kujitoa kwenye mashindano kunapunguza uthabiti wa maandalizi wa nyota huyo kuelekea michuano mikubwa ya wazi ya Australia itakayoanza Januari 15 na wasiwasi ukitanda kuwa huenda asishiriki.
Kwa mujibu wa mkurugenzi wa mashindano ya Brisbane Bw. Cameron Pearson, Murray ni mchezaji wa pili kujiondoa katika kipindi cha siku mbili zilizopita, kwani Rafael Nadal wa Hispania aliandika barua ya kujiondoa kwa madai kuwa anajiandaa na michuano ya wazi ya Australia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |