Puncheon aliumia alipomkabili De Bruyne dakika ya mwisho ya mechi.
Dann na Puncheon wote wawili walipewa kadi za manjano kwa kumchezea visivyo De Bruyne. Hodgson alisema kabla ya mechi hiyo kuanza kwamba ana wasiwasi sana kutokana na majeraha kikosini kwake na kwamba mechi nyingi msimu wa Krismasi zilikuwa mzigo kwa wachezaji wake. Palace walikatiza mbio za City za kushinda mechi 18 mfululizo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |