Hii ni mara ya pili kwa Sam kufundisha klabu za Kenya,akiwa amewahi kuifundisha kwa mafainikio Sofapaka kabla ya kujiuzulu kutokana sintofahamu ya malipo.
Katika kibarua chake hicho kipya, Sam atasaidiana na Francis Baraza pamoja na Leonard Odipo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |