Kwa kile kilichokuwa kikionekana kama Mavericks wanashinda baada ya kuongoza kwa alama katika robo ya pili na robo ya tatu (yaani 35-32, 28-24), mambo yalibadilika katika robo ya nne baada Warriors kujukusanyia alama 34-33.
Lakini kiama kiliwafika mabingwa wa mwaka 2016 Claveland Cavaliers walipofungwa na Boston Celtics kwa alama 102-88 na kuendelea kuiweka timu hiyo katika nafasi mbaya kwenye msimamo wa ligi.
Nyota wa Boston waliofanikisha ushindi huo ni Jaylen Brown, Al Horford na Jayson Tatum ambao kwa pamoja walifunga alama tatu kwa wingi kila mmoja.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |