Goli la Celta Vigo lilifungwa na Sisto Pieno na Barcelona likifungwa na Jose Arnaiz.
Nao mahasimu wa kihistoria wa Barcelona, Real Madrid jana wamejinyakulia ushindi wa magoli 3-0 katika mechi yao dhidi ya Numancia katika michuano hiyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |