Waasi wa Houthi nchini Yemen wametangaza kuwa wamefanikiwa kuitungua ndege moja ya kivita aina ya Tornado GR4 inayomilikiwa na muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia kwenye jimbo la Saada, kaskazini mwa nchi hiyo mapema jana.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |