Kufuatia taarifa hiyo, Coutinho mwenyewe ameeleza kufurahia tukio hilo wakati wa mahojiano na televisheni ya Barcelona.
Mchezaji huyo anatarajiwa kufanyiwa vipimo vya afya leo kabla ya kukamilisha tukio la kusaini rasmi mkataba.
Nyota huyo mwenye miaka 25, huenda akacheza kwenye mechi ya Copa Del Ray itakayopigwa alhamisi dhidi ya Celta Vigo katika dimba la Nou Camp.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |