Kwa upande wa wanawake michuano hiyo ya mabingwa wa vilabu ngazi ya kanda za kiushindani yataanza rasmi machi 5 hadi machi 18, kwa upande wawanume iatkuwa Machi 27 hadi Aprili 4.
Ukanda wa Afrika Mashariki unawakilishwa na vilabu kutoka Kenya ambavyo ni Kenya Pipeline and Kenya Prisons kwa wanawake na GSU and Kenya Prisons kwa wanaume.
Na Mabingwa watetezi wa mashindano hayo ni Al Ahly ya Misri.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |