Hii ni baada ya matokeo ya sare ya 1-1 baina ya Yanga na Singida United katika mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi ulioamua mshindi wa kwanza na wa pili kwenye msimamo.
URA wanaingia kwenye mechi hiyo ikiwa ni baada ya kukamilisha mechi yao ya hatua ya makundi kwa kuifunga Simba ya Dar es Salaam kwa goli 1-0.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |