Nyota huyo mwenye miaka 28 hajashiriki michuano yoyote tangu alipocheza mashindano ya Wimbledon mwaka jana na sasa nafasi yake itazibwa na Ajla Tomljanovic wa Australia.
Azarenka anaungana na nyota wengine waliojiondoa kwenye michuano hiyo kutokana na sababu mbalimbali akiwemo mwingereza Andy Murray, mmarekani Serena Williams huku Rafael Nadal na Novak Djokivic wakiwa bado hawajulikani hatma zao za ushiriki masindano hayo yanayoanza rasmi Januari 16 mwaka.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |