Wabunge nchini Rwanda wameanza kufanya ukaguzi wa miradi ya serikali ya kupunguza umaskini katika mkoa wa kaskazini.
Hiyo ni miradi ilio chini ya mwaka wa fedha 2017-2018.
Baada ya kukamilisha mkoa wa kaskazini baadaye wabunge hao watazuri mkoa wa magharibi na mji mkuu Kigali.
Mikoa ya Kusini na Mashariki itakaguliwa mwezi Machi.
Chini ya bajeti ya 2017/2018 ya franc trilioni 2.09 serikali ilipanga kutekeleza miradi mikubwa ya miundo mbinu kote nchini humo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |