• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Rwanda: Wabunge Rwanda kukagua miradi

    (GMT+08:00) 2018-01-09 19:25:44

    Wabunge nchini Rwanda wameanza kufanya ukaguzi wa miradi ya serikali ya kupunguza umaskini katika mkoa wa kaskazini.

    Hiyo ni miradi ilio chini ya mwaka wa fedha 2017-2018.

    Baada ya kukamilisha mkoa wa kaskazini baadaye wabunge hao watazuri mkoa wa magharibi na mji mkuu Kigali.

    Mikoa ya Kusini na Mashariki itakaguliwa mwezi Machi.

    Chini ya bajeti ya 2017/2018 ya franc trilioni 2.09 serikali ilipanga kutekeleza miradi mikubwa ya miundo mbinu kote nchini humo.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako