Naye mkurugenzi wa ufundi wa chama cha riadha cha Rwanda Jean Pierre Ndacyayisenga amabye aliambatana na wanariadha hao, alikiri kuwa maandalizi hafifu yalikuwa kikwazo kwa vijana hao kushinda medali za dhahabu katika mashindano yaliyojimuisha wanariadha 1600 kutoka nchi 27 duniani.
Washindi wa medali za dhahabu katika mbio hizo za Ujerumani walikuwa Konstanze Klosterhalfen ujerumani kwa upande wa wanawake na Zouhair Talbi wa Morocco kwa upande wa wanaume.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |