Goli la dakika za majeruhi lililofungwa na Sergio Aguero ndio liliinusuru kupata sare city, baada ya mechi hiyo kuonekana ngumu sana kutokana na uimara wa Bristol.
Bristol ndio waliokuwa wa kwanza kupata goli katika dakika ya 44, ambalo Kevin De Bruyne alilisawazisha kunako dakika 55.
Timu hizo zinarudiana Januari 23 ili kufuzu kwa fainali, na mshindi atakutana na mshindi katika mechi nyingine ya nusu fainali kati ya Chelsea na Arsenal.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |