Timu hiyo imeanza rasmi kambi ya mazoezi jana jumatano kwenye uwanja wa ndani wa Amahoro na ikitarajiwa kufanya mazoezi mara mbili kwa wiki.
Rwanda iko kundi B la mechi za kufuzu, ikiwa na timu za Mali, Nigeria, Uganda na mechi za timu hizo zikitarajiwa kufanyika kati ya Februari 23-25 mjini Bamako.
Kombe la dunia la mpira wa kikapu litafanyika mwezi Agosti hadi Septemba mwaka 2019 nchini China.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |