• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • China yaukaribisha Umoja wa Ulaya kujiunga na pendekezo la "Ukanda mmoja Njia moja"

    (GMT+08:00) 2018-01-12 08:42:28

    China imeukaribisha mpango wa Umoja wa Ulaya kuunganisha pendekezo la "Ukanda mmoja Njia moja" la China, na mpango wake wa mafungamano ya mabara ya Asia na Ulaya. Msemaji wa wizara ya mambo ya nje wa China Bw. Lu Kang amesema China iko tayari kushirikiana na Umoja wa Ulaya kwenye ushirikiano wa kunufaishana, kuhimiza ustawi na utulivu katika mabara ya Asia na Ulaya, na kujenga jumuiya ya binadamu yenye hatma ya pamoja.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako