Kylie Irving alipata alama 20 na Jaylen Brown 21 ambazo kwa ujumla ndizo zilizoibeba Celtics kwenye mechi hiyo.
Lakini kivutio kikubwa kwenye mechi hiyo ilikuwa ni mahudhurio ambayo kwa kiasi kikubwa watu maarufu barani ulaya ndiyo walihudhuria wakiwemo wachezaji wa mpira wa miguu.
Miongoni mwa watu wenye ushawishi mkubwa ni Mzee Alex Ferguson, pamoja na karibu nusu ya wachezaji wanaotikisa katika ligi kuu ya soka ya nchini Uingereza.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |