Hata hivyo ushindi huo, ulikuwa ni wa nne katika mfululizo wa mechi saba za fainali ilizocheza dhidi ya KIU.
Oilers wanashinda taji hilo kwa mara ya tano mfululizo, na kuvunja rekodi ya kwao wenyewe ya kushinda mara nne waliyoweka msimu uliopita.
Landry Ndikumana wa City Oilers alitangazwa kuwa mchezaji bora wa mechi za fainali.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |