Kuelekea michuano hiyo ambayo ni ya awali na itakayofanyika Februari 23 hadi 25, tayari kikosi cha Rwanda kimeanza kujifua katika uwanja wa ndani wa Amahoro mjini Kigali.
Na kocha mkuu wa timu hiyo Moise Mutokambali aendelea kuwapima mara mbili kwa wiki wachezaji 17 aliowaita kuunda kikosi hicho.
Rwanda iko kundi D pamoja na timu za Mali, Nigeria na Uganda
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |