Chama cha soka cha nchini Wales (FAW) kiliwafanyia usaili Craig Bellamy, Osian Roberts, Mark Bowen na Ryan Giggs ili kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na kocha Chris Coleman aliyekwenda kuifundisha klabu ya Sunderland inayoshiriki ligi kuu nchini Uingereza.
Kati ya majina yote hayo, Giggs ameonekana kuwa anafaa kwa nafasi hiyo, hivyo FAW itamtangaza leo katika mkutano na waandishi wa habari.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |