Uamuzi wa kuwafungulia wababe hao wa soka wa nchini Kenya, umekuja baada ya kikao kubwa kilichoitishwa na waziri wa michezo Faith Kitu na kuwakutanisha, Serikali ya kaunti na uongozi wa Gor waliokubaliana baadhi ya mambo ikiwemo, onyo kali, na timu hiyo kutakiwa kulipa faini ya shilingi milioni moja.
Sasa Gor Mahia wataruhusiwa kuutumia uwanja huo kama uwanja wao wa nyumbani.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |