Wachezaji hao ni Venus Williams amabye ni namba tano kwa viwango vya ubora duniani akitolewa na Belinda Bencic wa Uswisi amabye ni namba 74 kwa ubora duniani, mwingine ni Coco Vandewenge (10) aliyetolewa na Daria Gavrilova wa Australia (23) na John Isner (13) aliyefungwa na Metthew Ebden wa Afrika Kusini (78) duniani.
Wengine waliondolewa ni Irina Falconi, Sloane Stephens, Kevin King, na Sofia Kenin.
Michuano hiyo inaendelea leo kuanzia saa tano kwa saa Afrika Mashariki ambapo wamarekani wengine watajipima ubavu wakiwemo Donald Young, Francis Tiafoe na Brengle.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |