Antonio Valencia, Anthony Martial na Romelu Lukaku ndiyo waliofanikisha hilo, pamoja golikipa David De-Gea aliyekana nyavu zake kuguswa.
Kwa ushindi huo United pia, wanaweka tofauti ya alama kati yake na timu za Liverpool na Chelsea ambazo zinakamata nafasi ya tatu na nne zikiwa na alama 47 kila moja.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |