Miongoni mwa waliotajwa ni Kiryowa Kiwanuka'K.K' and Elly Mukasa missed out'Sober'. Ambao licha ya kwamba hawakufuzu lakini walipewa nafasi kutokana na viwango vyao vya misimu iliyopita wamechaguliwa kuhsiriki.
Weingine ni Yunus Baale,Raymond Mwesigwa, Dan Kajungu na Collins Nuwagira.
Washindi watajipatia nafasi ya kwenda kushiriki michuano maalum ya kimataifa ya Dubai ambapo katika mashindano yaliyopita Isaac Mariera na John Muchiri walishinda.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |