Uongozi huo umewezekana baada ya mechi nyingine ya kundi hilo baina ya Angola na Burkina Faso kuisha kwa sare ya bila kufungana.
Michuano hiyo inaendelea leo kwa mechi za kundi A ambapo wenyeji Morocco watacheza na Guinea ya Conakry, na Sudan wenye pointi 3 wakisaka ushindi wa pili ambao ni muhimu ili kusonga mbele watakapocheza dhidi ya Mauritania.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |