Wakala wa Mkhitaryan, Mino Raiola amesema dili hilo limefikia ugumu sasa baada ya Mkhitaryan mwenyewe kutokuwa tayari kwenda Arsenal na hajazungumza chochote kuhusu hilo.
Na katika hatua nyingine, Nyota wa Arsenal, Theo Walcot jana amefanyiwa vipimo vya afya kwa ajili ya kujiunga na Everton.
Habari zinasema kuwa Walcot atajiunga na Everton kwa ada ya uhamisho kiasi ya pauni milioni 20.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |