• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Tennis, Rafael Nadal amefanikiwa kufuzu kwa raundi ya tatu mashindano ya Australia

    (GMT+08:00) 2018-01-18 08:15:16
    Mchezaji nyota wa Tennis Rafael Nadal wa Hispania amefanikiwa kufuzu raundi ya tatu katika michuano ya Australia baada ya kumfunga Leonardo Mayer wa Marekani kwa seti ya 3-0 yenye alama 6-3 6-1 na 7-6 mjini Melbourne.

    Kutokana na umahiri wa Mayer, imemchukua saa 2 na dakika 38, Rafael Nadal kushinda mechi hiyo ambayo licha ya matokeo kumbeba Nadal, Mayer ndiye aliyeongoza kwa takwimu za awali.

    Kwa ushindi huo, Rafael Nadal ambaye ni bingwa mara 17 wa michuano mikubwa ya tennis, anatarajiwa kukutana na Damir Dzumhur wa Bosnia siku ya ijumaa.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako