Shirikisho la urafiki wa watu wa China kwa nchi za nje na ubalozi wa Afrika kusini nchini China jana hapa Beijing waliandaa tafrija ya kuadhimisha miaka 20 ya uhusiano wa kibalozi kati ya nchi hizo mbili. Naibu spika wa bunge la umma la China Bw. Xiangping Baocuo alihudhuria tafrija hiyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |