Konta ambaye ni namba tisa kwa ubora duniani alifungwa kwa seti 6-4 na 7-5 na hicho kikiwa ni kipigo cha 8 katika mechi 11 alizocheza tangu mwezi Julai mwaka jana.
Na kutokana na ushindi wa jana, Bernarda atakutana na Barbora Strycova wa Czech katika mechi ya raundi ya tatu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |