Chelsea imemtoa kwa mkopo Michy Batshuayi katika klabu ya Roma, na ikitoa fedha kiasi ya pauni milioni 50 kwa ajili ya kumpata Dzeko na beki wa timu hiyo Emerson Palmieri.
Pamoja na hayo, Roma bado wameomba nyongeza ya pauni milioni 15 ili kufikia muafaka.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |