Shukrani hizo zimetolewa baada ya Makamu wa Rais wa Kenya William Ruto, juzi kutangaza kuwa serikali itatoa shilingi milioni 500 kwa ajili ya kufidia ili wachezaji, timu na timu ziendelee na mipango yake.
Baada ya wadhamini kujitoa, vyama kadhaa viliathirika ambavyo ni chama cha soka (FKF), chama cha Raga (KRU), ndondi (BAK), klabu za Gor Mahia, AFC Leopards na Nakuru All Stars, pamoja na bondia maarufu nchini Kenya Fatuma Zarika.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |