Suarez alifunga magoli mawili katika dakika ya 69 na 89, na mwenzake Lionel Messi akifunga kunako dakika ya 64 na 80, lakini goli la tano la wakatalan hao lilifungwa na kiungo Ivan Rakitic wa Croatia.
Mahasimu wa Barcelona, Real Madrid nao jana wamefanikiwa kupata ushindi mnono wa magoli 7-1 walipocheza dhidi ya Deportivo la Coruna.
Katika mechi hiyo, Cristiano Ronaldo, Gareth Bale na Nacho Monreal walifunga magoli mawili kila mmoja, na goli moja likifungwa na kiungo wa Croatia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |