Inasadikiwa kuwa, shabiki aliyepigwa na nyoso ni wa Kagera Sugar, tukio hilo lilitokea baada ya mchezo huo kumalizika ambapo wakati wachezaji wa Kagera Sugar wakielekea kwenye vyumba vya kubadilishia nyuo, inaelezwa baadhi ya mashabiki wa timu hiyo walikuwa wakiwatolea maneno makali wachezaji wao kiasi kwamba Nyoso alishindwa kuzuia harisa zake na kumpiga mmoja wa mashabiki hao ambaye alizimia papo hapo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |