Wanafunzi hao tayari wamejiandikisha kwa ajili ya masomo ya ufundi stadi kupitia aplikesheni ya VSOMO.
Chini ya utaratibu huo, wanafunzi hao wataweza kusoma kozi mbalimbali za ufundi.
Kaimu Mkuu wa chuo cha ufundi cha VETA kituo cha Kipawa, Harold Mganga amesema kuwa mafunzo ya ufundi ya muda mfupi yamekuwa yakitolewa na katika vyuo cha VETA kwa miaka mingi.
Mpaka sasa wanafunzi 9,975 wamejiandikisha kupata mafunzo hayo na zaidi ya watu 33,000 wameshapakuwa aplikesheni hiyo ya VSOMO kupitia simu zao za mkononi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |