Hii ni mara ya tano kwa nchi hiyo kuwasilisha ombi la kuandaa mashindano hayo likiwahi kuomba kuandaa mwaka 1994, 1998, 2006 na 2010 na mara zote hizo likifeli.
Katika Kinyang'anyiro cha kuandaa mwaka 2026, Morocco inashindana na mataifa ya Canada, Mexico na Marekani.
Mshindi wa nafasi hiyo atatangazwa rasmi juni 13 mwaka huu wakati wa mkesha wa kombe la dunia nchini Urusi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |