Licha ya kuwa Nadal alifanikiwa kucheza chini ya uangalizi wa madaktari bado kasi yake ilikuwa kubwa, jambo lililopelekea mechi hiyo iende hadi seti tano huku Cilic akiitumia nafasi hiyo vizuri.
Kwa ushindi huo, Cilic sasa atakutana na Kyle Edmund wa Uingereza katika mechi ya nusu fainali ambaye alishinda katika mechi yake ya jana alipocheza dhidi ya Grigor Dimitrov wa Bulgaria.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |